Monday, March 28, 2016

UKIIFAHAMU KWELI ITAKUWEKA HURU

Mchungaji mmoja wa kanisa fulani alikuwa na huduma nzuri sana na maombi na maombezi kwenye local church yake. Si utaratibu wa kanisa lao kuwa na huduma ya maombezi. Kwa hyo akaanza kupangiwa mipango kuwa yuko kinyume na utaratibu wa kanisa. Askofu wake alivyokuja kuona huduma ile alifanyiwa mizengwe ya kufukuzwa kazi. Katika kujitetea akamwambia Askofu kosa langu liko wapi? Maana nimegundua katika maandiko watu wakiombewa kwa jina la Yesu wanapokea uponyaji, sasa kwanini kunizuia? .. Kusoma zaidi

No comments:

Post a Comment