Saturday, April 2, 2016

UBATIZO NI NINI?


MWONGOZO
“Basi tulizikwa pamoja naye kwa njia ya ubatizo katika mauti yake, kusudi kama kristo alivyofufuka katika wafu kwa njia ya utukufu wa Baba, vivyo hivyo na sisi tuenende katika upya  wa uzima. Kwa maana kama tulivyounganika naye katika mfano wa mauti yake, kadhalika  tutaunganika kwa mfano wa kuunganika naye; tukijua nano hili, ya kuwa utu wetu wa kale  ulisulubishwa pamoja naye, ili mwili wa dhambi ubatilike, tusitumikie dhambi tena”. Rum 6:4-6... Soma zaidi.

No comments:

Post a Comment